• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Ufugaji

Ufugaji ni shughuli kuu ya pili ya kiuchumi Mkoani Singida. Inakadiriwa kwamba asilimia 11 ya pato la Mkoa linatokana na shughuli za ufugaji.

Mkoa una rasilimali kubwa ya mifugo ambapo kuna jumla ya ng’ombe1,037794, mbuzi 663,560, kondoo 308,578, nguruwe 17,054, punda 38,825, kuku 2,056,714, Bata 18,564, Sungura 3,510, kanga 23,316, Mbwa 50,787 na Paka 24,000.

Mifugo hii licha ya kuwapatia kipato lakini pia inachangia lishe, usafirishaji, kutumika kama benki ya dharura, na Ng’ombe wamekuwa wakitumika kama wanyama kazi katika kukuza kilimo.

Aidha, kutokana na wingi wa Mifugo kumekuwepo na uzalishaji wa Nyama, Ngozi  na Maziwa hivyo kuna fursa ya kuwekeza katika Viwanda vya nyama na ngozi. Ufugaji wa kuku kwa asilimia kubwa umeenea Mkoani kote na karibu kila kaya ina Kuku.

Miundombinu ya mifugo iliyopo

Ili kumwezesha mfugaji kuwa na soko la uhakika wa mifugo, Halmashauri zimekuwa zinaendesha minada ya mifugo 46 ya ukwanza (primary markets) na mnada 1 wa upili (secondary market).

Minada hii inaendeshwa kila mwezi. Aidha, kuna majosho 144 ambayo mengi hayafanyi kazi kutokana na kuwa mabovu, malambo 68, machinjio makubwa 3, machinjio ndogo 72, vituo vya mifugo (veterinary centres) 3 na maduka ya dawa za mifugo 12.

Malisho na Ardhi

Eneo la malisho linalofaa kwa ajili ya mifugo linakadiriwa kuwa na Hekta 1,974,700. Eneo hili kitaalamu linatosheleza kufugia mifugo (Lu) 493,675, ukilinganisha na idadi ya mifugo iliyopo sasa.

Hata hivyo hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa kukabiliana na tatizo hili. Hii ni pamoja na kuwaelimisha wafugaji wabadili mfumo wa ufugaji huria na kufuga ufugaji wa tija na kibiashara. Serikali za Vijiji/Kata kuwa na mpango wa matumizi bora ya Ardhi, ambapo hadi sasa takribani hekta 30,350 za malisho zimetengwa kupitia mpango huu.

Kuboresha maeneo ya malisho yaliyotengwa na kuwashawishi wafugaji kuongeza muda wa kulisha mifugo.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUU YAMWAGA FEDHA ZA MIRADI MANISPAA YA SINGIDA

    May 16, 2025
  • KLINIKI YA SHERIA KUKATA KIU YA MASHAURI YA WANANCHI MKOANI SINGIDA.

    May 16, 2025
  • OPERESHENI UKAGUZI MIRADI YAENDELEA WILAYANI IRAMBA

    May 15, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI SINGIDA,MKALAMA YAFIKIWA.

    May 14, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.