• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RAS Mwaluko akabidhi pampu 13 za umwagiliaji

Posted on: November 25th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Singida leo tarehe 25.11.2022 amekabidhi pampu 13 za umwagiliaji zinazotumia nishati ya jua kwa vikundi 13 vya vijana kutoka Halmashauri ya Manyoni, Itigi, Mkalama, Singida, Manispaa na Iramba zenye thamani ya Sh.Milioni 23.4.

Akiongea na vijana hao katika ukumbi wa Ofisi za Shirika lisilo la Kiserikali la SEMA Mkoani hapo amesema mashine hizo zitawasidia kuongeza kipato katika shughuli za kilimo cha bustani na kuwataka wazitunze ili ziweze kudumu kwa muda mrefu.

Aidha Katibu Tawala huyo ametoa wito kwa vijana kuacha kulalamika kwamba hakuna ajira na badala yake wajitume kufanya kazi za kilimo na ufugaji kwa kuwa bidhaa zitokanazo na shughuli hizo zina soko kubwa ndani ya Mkoa na nje.

Aidha Katibu Tawala amelishukuru Shirika la NSV (Nedhalend Development Organization) kupitia Mradi wake wa OYE (Opportunities for youth Employment) kwa msaada wa mashine hizo ambazo zimegharimu kiasi cha Milioni 1.8 kwa kila moja ambapo shirika limechangia asilimia 68 na Kampuni iliyotengeneza ikachangia asilimia 15 wakati vikundi vikachangia asilimia 17 ambao inalipwa kwa miezi  16.

Kwa upande wake Afisa Mwandamizi wa Usimamizi na Tathmini katika Mradi huo wa OYE  Belinda Masawe, amesema  mashine hizo hutumia nishati ya jua ambayo haitawaingizia gharama za uendeshaji Wanakikundi.

Hata hivyo Belinda ameendelea kufafanua kwamba mashine ina uwezo wa kumwagilia shamba lenye ukumbwa wa ekari mbili kwa msimu mmoja na ina uwezo wa kudumu kwa zaidi ya miaka kumi (10) ukipata mafunzo.

Aidha ameeleza kwamba vikundi hivyo vimepewa muda wa miaka miwili (2) wa uangalizi na endapo zitaharibika kabla ya hapo vitarudishwa kwa muuzaji.

Akimalizia hotuba yake Belinda ameeleza kwamba mashine hizo zimetafutiwa ubora wake na kubainika kwamba ni nzuri kwa mazingira kwa kuwa hazitoi moshi wala mabaki ya mafuta ambayo yangechafua mazingira.

Awali akitoa maelezo ya ukaribisho Afisa vijana wa Mkoa wa Singida Fredrick Ndahani, ameeleza kwamba fursa za biashara katika Mkoa huo nikubwa kwa kuwa kuna miradi mingi imeanzishwa ikiwemo bomba la mafuta na miradi ya machimbo ya madini kwamba ni soko kubwa.

Ndahani ameendelea kueleza kwamba Serikali imeweka mazingira mazuri kwa vijana kuhakikisha kwamba wanajiajiri na wanapata mitaji kupitia mikopo ya Halmashauri ambapo kuna asilimia nne maaluma kwa ajili ya vijana.

Hata hivyo Ndahani aliwaeleza vijana hao kutumia fursa ya uwemo wa makao makuu ya Serikali Dodoma ambayo yapo karibu na Singida kupata masoko ya bidhaa zao huku akiwaasa kuboresha vifungashio.

 Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Manyoni watakiwa kupima viwanja ili kufidia madeni.

    March 22, 2023
  • "Wekeni kumbukumbu kwenye majalada ziwasaidie kutoa taarifa sahihi" - RC Serukamba.

    March 22, 2023
  • Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Mkoani Singida laja na mikakati ya Ukombozi Mwanamke kiuchumi.

    March 15, 2023
  • ALIYEBAKI NA MBEGU YA ALIZETI ATAILIPA - SERUKAMBA

    March 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.