Posted on: September 24th, 2024
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga, amewataka Wakurugenzi, Maafisa manunuzi, na Wahandisi wa mkoa huo kuhakikisha kuwa miradi yote inayotekelezwa inakamilika kwa wakati, kwa viwango ...
Posted on: September 23rd, 2024
Timu ya Madaktari bingwa wa Rais Samia iliyoko Mkoani Singida imeombwa kwenda kuimarisha huduma kwa kutoa ujuzi kwa watumishi walioko katika vituo wanavyoenda ili kuwasaidia kuwa na weledi na kutoa hu...
Posted on: September 21st, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Singida,Mhe.Halima Dendego leo jumamosi (Septemba 21,2024 amezindua bonanza la uchaguzi Mkoani humo linalolenga kwahamasisha wananchi kushiriki katika kujiandikisha na kuboresha daftar...