• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

HABARI PICHA; NAMNA SINGIDA ILIVYOHITIMSHA KWA UFANISI NA KUKABIDHI MWENGE WA UHURU SIMIYU.

  • Mkuu wa Mkoa wa Simgoda Dkt Rehema Nchimbi akijiandaa kuukabidhi mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka, katikati yao ni Mkimbiza Mwenge Kitaifa Bahati Lugodisha akiwa na mwenge wa uhuru.

    Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhandisi Jakson Masaka akiukabidhi mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi mara baada ya kuhitimisha mbio za mwenge wa uhuru kwa halmashauri saba za Mkoa wa Singida, ili aweze kuukabidhi mkoa wa Simiyu.

    Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akiupokea mwenge wa uhuru kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkalama kabla ya kuendelea na itifaki ya kuukabidhi kwa mkoa wa Simiyu.

    Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt Angelina Mageni Lutambi akiwa na mwenge wa uhuru kabla ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi kuendelea na itifaki ya kuukabidhi kwa mkoa wa Simiyu.

    Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akisoma taarifa ya mbio za mwenge wa uhuru Mkoani Singida kwa Mwaka 2017 kabla hajaukabidhi kwa Mkoa wa Simiyu, kushoto kwake ni Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Amour Hamad Amour.

    Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akiagana na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Amour Hamad Amour kabla ya kukabidhiwa Mkoani Simiyu.

    Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Amour Hamad Amour akiwa na wakimbiza mwenge kitaifa kwa pamoja ‘wakinyakua’ pamoja na askari wa Mkoa wa Singida kama ishara ya kuagana kwa upendo kabla ya kukabidhiwa Mkoani Simiyu.

    Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Amour Hamad Amour ‘akinyakua’ pamoja na askari wa Mkoa wa Singida kama ishara ya kuagana kwa upendo kabla ya kukabidhiwa Mkoani Simiyu.

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Debora Mgiligimba akiongoza askari wengine kuwaaga wakimbiza mwenge kitaifa waliofanya kazi nzuri mkoani Singida katika halmashauri saba.

    Mkuu wa Mkoa wa Simgoda Dkt Rehema Nchimbi akijiandaa kuukabidhi mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka, katikati yao ni Mkimbiza Mwenge Kitaifa Bahati Lugodisha akiwa na mwenge wa uhuru.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • SINGIDA INVESTMENT GUIDE February 23, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2022 - MKOA WA SINGIDA December 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Shirika la Umeme Tanesco latakiwa kuimarisha ulinzi Katika miundombinu Yao

    May 17, 2022
  • Dkt. Mahenge Atangaza Fursa kwa Wawekezaji Mkoani Singida

    May 14, 2022
  • Madiwani Watakiwa kushiriki kikamilifu zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi na Posti Kodi Wilayani Manyoni

    May 11, 2022
  • Taasisi binafsi zatakiwa kuonesha ushirikiano katika uwekaji wa Anwani za Makazi Manispaa ya Singida.

    May 10, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.